Arusha yatangaza mazishi kuhudhuriwa na watu 10

Kufuatia sintofahamu inayoendelea kuhusiana na idadi ya watu wanaoruhusiwa kushiriki mazishi katika kipindi hiki cha mlipuko wa ugonjwa wa Covid 19 Duniani, Serikali ya mkoa wa Arusha imetangaza rasmi kuanzia sasa kuwa mazishi yote katika mkoa huo yatakuwa yakihudhuriwa na watu wasiozidi kumi lengo likiwa ni kupunguza msongamano wa watu katika maeneo ya makaburi.

Post a Comment

0 Comments