Daktari mmoja kutoka Uturuki amefariki kutokana na maambukizi ya virusi vya corona nchini Marekani.
Halil Sina Zaim, daktari kutola nchini Uturuki ameripotiwa kufariki kutokana na mamabukizi ya virusi vya corona katika jimbo la New Jersey nchini Marekani.
Daktari Halil Sina Zaim aliambukiwa virusi hivyo akiwa katika kutekeleza wajibu wale mjini New Jersey nchini Marekani.
Daktari mtaalamu wa moyo aliekuwa akiishi katika mji wa Mountain Lakes alikuwa akipatiwa matibabu ya covid-19 kwa muda wa siku kadhaa zilizopita.
Zaim amezikwa mjini New York.
Miti itapandwa na shirika la wauguzi wa Uturuki na Marekani kwa ajili ya kumuenzi Daktari Zaim ambae amezaliwa mjini Ankara mwaka 1951.
Daktari huyo alikuwa akiendelea na masomo na utafiti nchini Canada, Uswisi, Uturuki na Marekani.
Nchini Marekani , waturuki 23 wamefariki kutokana na virusi vya corona, 19 New York, watatu katika jimbo la Chicago na mmoja Florida .
Halil Sina Zaim, daktari kutola nchini Uturuki ameripotiwa kufariki kutokana na mamabukizi ya virusi vya corona katika jimbo la New Jersey nchini Marekani.
Daktari Halil Sina Zaim aliambukiwa virusi hivyo akiwa katika kutekeleza wajibu wale mjini New Jersey nchini Marekani.
Daktari mtaalamu wa moyo aliekuwa akiishi katika mji wa Mountain Lakes alikuwa akipatiwa matibabu ya covid-19 kwa muda wa siku kadhaa zilizopita.
Zaim amezikwa mjini New York.
Miti itapandwa na shirika la wauguzi wa Uturuki na Marekani kwa ajili ya kumuenzi Daktari Zaim ambae amezaliwa mjini Ankara mwaka 1951.
Daktari huyo alikuwa akiendelea na masomo na utafiti nchini Canada, Uswisi, Uturuki na Marekani.
Nchini Marekani , waturuki 23 wamefariki kutokana na virusi vya corona, 19 New York, watatu katika jimbo la Chicago na mmoja Florida .
0 Comments