Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Sarah Msafiri amempongeza Rais Magufuli kwa namna anavyochukua hatua kwenye janga la ugonjwa wa Corona huku akiwataka Watanzania kuachana na taarifa zinazopotoshwa kwenye mitandao ya kijami kuhusiana na ugonjwa huo
Source: Muungwana
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBSCRIBE
Source: Muungwana
0 Comments