Pongezi za Rais Magufuri kwa wafanyakazi: Tuendelee kuchapa kazi Corona isiwe kikwazo




Rais wa Jamhuri yaa Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli amewapongeza na kuwatakia heri wafanyakazi wote hapa nchini ambao leo mey 1 wanaadhimisha siku ya wafanyakazi.



Post a Comment

0 Comments