Tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 5,5 katika kipimo cha Richter laripotiwa kutokea katika eneo la Ibaraki Mashariki mwa Japan na katika mkoa wa Maluku nchini Indonesia.
Kulingana na taarifa ziliztolewa na kitengo kinachohusika na utafiti wa ardhi na tetemeko nchini Japan, tetemeko hilo lenye ukubwa wa 5,5 limesikika katika umbali wa kilomita 50 na kitovu chake.
Tetemeko hilo limetokea majira ya asubuhi saa mbili na kusikika katika maeneo tofauti karibu na eneo la kitovu cha tetemeko.
Kwa upande wake , kitengo cha utafiti kuhusu tetemeko na ardhi nchini Indonesia kimefahamisha kuwa kitovu cha tetemeko Maluku Tengagara limesikika katika umbali wa kilomita 10.
Hakuna tahari yeyote iliotolewa kuhusu uwezekano wa kutokea kwa wimbi kubwa la Tsunami.
Watu 36 walifarik katika tetemeko lililokuwa na ukubwa wa 6,8 lililotokea Septemba 26 mwaka 2019 Maluku.
Nchini Indonesia katika eneo hilo la mkoa wa Maluku, tetemeko lililkuwa na ukubwa wa 5,7 katika kipimo cha Richter.
Kulingana na taarifa ziliztolewa na kitengo kinachohusika na utafiti wa ardhi na tetemeko nchini Japan, tetemeko hilo lenye ukubwa wa 5,5 limesikika katika umbali wa kilomita 50 na kitovu chake.
Tetemeko hilo limetokea majira ya asubuhi saa mbili na kusikika katika maeneo tofauti karibu na eneo la kitovu cha tetemeko.
Kwa upande wake , kitengo cha utafiti kuhusu tetemeko na ardhi nchini Indonesia kimefahamisha kuwa kitovu cha tetemeko Maluku Tengagara limesikika katika umbali wa kilomita 10.
Hakuna tahari yeyote iliotolewa kuhusu uwezekano wa kutokea kwa wimbi kubwa la Tsunami.
Watu 36 walifarik katika tetemeko lililokuwa na ukubwa wa 6,8 lililotokea Septemba 26 mwaka 2019 Maluku.
0 Comments