Uturuki imekanusha tuhuma ambazo zimetolewa na waziri wa ulinzi wa Ugiriki Nikos Panagitopoulos.
Waziri wa ulinzi wa Ugiriki amelituhumu jeshi la Uturuki kutishia usalama helikopta aliokuwemo .
Waziri huyo wa Ulinzi wa Ugiriki ametuhumu jeshi la anga la Uturuki kumtishia usalama kwa kutumia ndege zake za kivita.
Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya Uturuki Hami Aksoy ametoa taarifa kuhusu tuhuma hizo zilizotolewa na waziri wa ulinzi wa Ugiriki kwa kufahamisha kwamba jeshi la Uturuki lilikuwa katika kuetekeleza wajibu wake wa kila siku katika bahari ya Egean.
Hami Aksoy katika ujumbe wake huo ambao amekanusha tuhuma kutoka kwa waziri wa Ulinzi wa Ugiriki amesema kwamba haina nama kwa Uturuki kumtishia amani waziri wa Ulinzi wa taifa mshirika , ni wajibu wa Ugiriki kuwa na imani na washirika wake wakati wakiendesha shuhuli zao za kila siku kulinda mipaka.
Waziri wa ulinzi wa Ugiriki amelituhumu jeshi la Uturuki kutishia usalama helikopta aliokuwemo .
Waziri huyo wa Ulinzi wa Ugiriki ametuhumu jeshi la anga la Uturuki kumtishia usalama kwa kutumia ndege zake za kivita.
Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya Uturuki Hami Aksoy ametoa taarifa kuhusu tuhuma hizo zilizotolewa na waziri wa ulinzi wa Ugiriki kwa kufahamisha kwamba jeshi la Uturuki lilikuwa katika kuetekeleza wajibu wake wa kila siku katika bahari ya Egean.
Hami Aksoy katika ujumbe wake huo ambao amekanusha tuhuma kutoka kwa waziri wa Ulinzi wa Ugiriki amesema kwamba haina nama kwa Uturuki kumtishia amani waziri wa Ulinzi wa taifa mshirika , ni wajibu wa Ugiriki kuwa na imani na washirika wake wakati wakiendesha shuhuli zao za kila siku kulinda mipaka.
0 Comments