HII hapa ratiba za mechi za mwanzo kabisa ndani ya mwezi Juni Baada ya Serikali kuruhusu masuala ya michezo kuanzia Juni Mosi:-
Hizi hapa zitachezwa Juni 20
Hizi hapa zitaanza Juni 13
- Juni 14, Simba vs Ruvu Shooting, Uwanja wa Taifa
- Azam FC vs Mbao, Uwanja wa Azam Complex
- Juni 17,JKT Tanzania vs Yanga, Uwanja wa Jamhuri
Hizi hapa zitachezwa Juni 20
- JKT Tanzania vs Singida United,Uwanja wa Jamhuri
- Ndanda vs Biashara United, Uwanja wa Nangwanda
- Namungo vs Kagera Sugar, Majaliwa
- Coastal Union vs Mtibwa Sugar. Mkwakwani
- Polisi Tanzania vs Lipuli, Ushirika
- Mbeya City vs Alliance, Sokoine
- KMC vs Ruvu Shooting, Uhuru
- Simba vs Mwadui, Uwanja wa Taifa
Hizi hapa zitaanza Juni 13
- Mwadui FC Vs Yanga, Uwanja wa Kambarage.
- Coastal Union vs Namungo FC, Uwanja wa Mkwakwani..
0 Comments