Title of the document
Ndugu Gerson Msigwa ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya
Utamaduni, Sanaa na Michezo. Kabla ya uteuzi huo, Ndugu Msigwa alikuwa
Mkurugenzi wa Habari – MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali. Nafasi
iliyoachwa wazi ya Mkurugenzi wa Habari – MAELEZO na Msemaji Mkuu wa
Serikali itatangazwa baadae.
HABARI ZENYE UHALISIA
Open a PDF file PAKUA WARAKA MZIMA WA UTEUZI HAPA.
0 Comments