VIDEO: Sababu za mvurugano, kutoaminiana vyama vya siasa zatajwa, CUF na CHADEMA watajwa




Mchambuzi wa masuala ya kisiasa nchini, Charles Kayoka amefunguka kuhusiana na wanasiasa wengi nchini kutoaminiana huku akiitaja Chama cha Wananchi (CUF) na CHADEMA.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....... USISAHAU KUSUBSCRIBE




Post a Comment

0 Comments