Mlinzi wa Mapinduzi anasema nchi inaweza 'kufuatilia dunia kutoka katika anga' baada ya uzinduzi wa satelaiti ya kwanza ya kijeshi kuingia kwenye njia ya mzunguko wake
Mlinzi wa Baraza la Mapinduzi la Iran anasema nchi hiyo sasa ina uwezo wa "kufuatilia ulimwengu kutoka anga za juu", baada ya kuzindua satellite yake ya kwanza ya kijeshi kuingia kwenye mzunguko wa anga.
Amerika iliishutumu Tehran huko nyuma kwa kutumia mpango wake wa mambo ya anga kama njia ya kuficha maendeleo ya utengenezaji wa makombora.
Na Rais Donald Trump, bila kuhutubia uzinduzi huo moja kwa moja, ametishia kuharibu meli za kivitaa za Irani ambazo anasema, zimekuwa zikisumbua meli za Amerika baharini.
0 Comments