Makabiliano ya kikabila nchini Suadan ayapelekea vifo vya watu watatu na wengine wajeruhiwa
Watu watatu wameripotiwa kuuawa na wengine 79 wamejeruhiwa katika mapigano ya kikabilia yaliotokea nchini Sudan.
Mapigano hayo kati ya kabila la Beni Amri na kabila ya Nuba yametokea Mashariki mwa Sudani.
Watu watatu wamefariki katika mapigano hayo na watu wengine 79 wamejeruhiwa ikiwemo waliojeruhiwa vikali.
Watu watatu wamefariki katika mapigano ya kikabilia yaliotokea kati ya kabila ka Beni Amri na kabila Nuba Mashariki mwa Sudani na kupelekea watu wengine zaidi ya 70 kujeruhiwa.
Gavana wa Kesele, Mahmud Baberk amesema kwamba matukio ya Alkhamis kati ya makabila hayo mawili, makabili ambayo huasimiana kwa muda mrefu, jeshi la kulinda uslama lililzamika kuingilia kati na kutuliza ghasia huku machufuku yakiripotiwa kutokea upya Ijumaa wiki iliota.
Baberk amesema kuwa watu watatu ndio waliouawa katika makailiano hayo kati ya makabilia hayo mawili.
Majumba yalichmwa moto na watu 59 walikamatwa
Watu watatu wameripotiwa kuuawa na wengine 79 wamejeruhiwa katika mapigano ya kikabilia yaliotokea nchini Sudan.
Mapigano hayo kati ya kabila la Beni Amri na kabila ya Nuba yametokea Mashariki mwa Sudani.
Watu watatu wamefariki katika mapigano hayo na watu wengine 79 wamejeruhiwa ikiwemo waliojeruhiwa vikali.
Watu watatu wamefariki katika mapigano ya kikabilia yaliotokea kati ya kabila ka Beni Amri na kabila Nuba Mashariki mwa Sudani na kupelekea watu wengine zaidi ya 70 kujeruhiwa.
Gavana wa Kesele, Mahmud Baberk amesema kwamba matukio ya Alkhamis kati ya makabila hayo mawili, makabili ambayo huasimiana kwa muda mrefu, jeshi la kulinda uslama lililzamika kuingilia kati na kutuliza ghasia huku machufuku yakiripotiwa kutokea upya Ijumaa wiki iliota.
Baberk amesema kuwa watu watatu ndio waliouawa katika makailiano hayo kati ya makabilia hayo mawili.
Majumba yalichmwa moto na watu 59 walikamatwa
0 Comments