Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee Watoto Ummy Mwalimu amesema serikali haijatoa taarifa za mwenendo wa ugonjwa wa Covid-19 nchini kwa wiki moja sasa kutokana na uwepo wa zoezi la uhakiki wa maabara ya taifa na uhakiki huo utakapokamilika, taarifa zitaendelea kutolewa.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.......USISAHAU KUSUBSCRIBE
0 Comments